Pages

Tuesday 24 April 2012

DEREVA WA ‘BODABODA’ AUAWA KIKATLI NA MWILI WAKE KUTUPWA KWENYE SHAMBA LA MKONGE MAENEO YA KINGURUWILA.

 Mwili wa marehemu Omar ulivyokutwa maeneo ya Tungi.
 Gari la polisi lililokuja kuuchukua mwili.
Wananchi waliohuzunishwa na kifo cha Moro.
---
KASI ya madereva wa pikipiki za biashara ya kusafirisha watu zinazojulikana kama 'Bodaboda' kuuawa kikatili inashika kasi mkoani Morogoro ambapo mtu mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Omari ameuawa na kutupwa kwenye mashamba ya mkonge ya Kinguruwila mkoani Morogoro jirani na kiwanda cha kusindika tumbaku cha Dimon.
 Wakizungumza na mtandao huu, baadhi ya madereva wenzake walisema majuzi dereva mwenzao alipigiwa simu na wateja zake awafuste maeneo ya Tungi na tangu aende huko  hajaonekana hadi mwilili wake ulipookotwa.
                          
PICHA NA HABARI DUNSTAN SHEKIDELE, GPL,  MOROGORO

No comments: