Pages

Tuesday 24 April 2012

POLISI MORO YAINGIA LIGI KUU YA VODACOM, YAKABIDHIWA KOMBE.

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bendera (kulia) akimkabidhi kombe nanodha wa timu ya Polisi Moro, Imani Mapunda, baada ya kushika nafasi ya kwanza katika Ligi Daraja la Kwanza ngazi ya kitaifa hatua ya Tisa Bora baada ya kujikusanyia jumla ya pointi 20.  Mgambo Shooting Stars ya mkoani Tanga ni ya pili kwa pointi 15 na Prisons ya Mbeya ni ya tatu baada kwa  pointi 14.  Timu hizo zitaingia Ligi Kuu ya Vodacom msimu ujao.


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Adolphin Chialo (mwanamke mwenye miwani katikati), akiwa na kombe la ushindi baada ya kukabidhiwa na nahodha wa timu hiyo.

PICHA NA DUNSTAN SHEKIDELE, GPL, MOROGORO

No comments: