Pages

Wednesday 11 April 2012

TASWIRA ZA MAZISHI YA MSANII WA FILAMU MAREHEMU STEVEN KANUMBA.


  Baadhi yaa Waombolezaji wa msiba wa Steven Charles Kanumba wakiwasili kwenye Makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam mchana huu kwa tendo la kuuhifadhi mwili wa Marehemu katika nyumba yake ya Milele

 Mwili wa marehemu kabla ya kuingizwa kaburini
 Mama mzazi wa Steven Charles Kanumba akiaga mwili wa mwanae makaburini Kinondoni baada ya zoezi hili kushindikana pale Leaders Club kutokana na msongamano kuwa mkubwa kupita kiasi. 
 Pumzika kwa amani Kanumba
 Mama Mzazi wa Marehemu Steven Charles Kanumba akiwasili Makaburini huku akiwa ameambatana na Dada Asha Baraka.
Jeneza Lenye  Mwili wa Marehemu Steven Charles Kanumba ukwekwa kaburini 
Kaburi la marehemu Kanumba likisakafiwa 
  Dah kweli Kanumba umesimika kama mshumaa1 R.I.P we will miss you
Model Millen Magese akiwa na mashada ya maua 
 Mama mzazi wa Steven Kanumba akiweka shada la maua katika kaburi la mwanae
 Watu mpaka  kwenye miti na kwa habai zilizotufik ani kwamba kuna wengine walikuwa kwenye mti wakadondoka na kukimbizwa hospitali
Kanumba ulipendwa sana na umeliza wengi sana If only wafu wange kuwa wanarudi japo kwa dakika unge amka uone huu umati.

Picha kwa hisani ya Jestina George Blog

No comments: